Tukijaaliwa mfungo mosi kutakuwa na shughuli za kufungua mikoba na mambo mengine na kutakuwa na halaiki kama siku ile na shughuli hii itajumuisha waganga mbali mbali, karibu.
Kuhusu hili la wahusika kwenda mbele za haki bado haiondoi asili iliyopo na zaidi itawaandama.
Ni vema wazee waliokuwa...
Habari
Siku zote nimekuwa nikipokea maswali na kuyajibu bure bila kuhitaji chochote, muda mwengine inanibidi kuamka hata usiku mwingi au hata kufanya utafiti na kujishughulisha ilimradi nitoe majibu sahihi ili hata wanaojua fani hii wasinione napotosha.
Leo nilikuwa nje ya mji kabisa vijijini...
Naam kuoga na sabuni na kujitakasa na kisha kutumia maji yenye dawa ni sahihi na ndiyo utaratibu, hivyo haina maana kwamba sabuni isitumike kabisa mwilini.
Yanafanyika hayo na makubwa zaidi katika falme za kiroho na ni robo au theluthi ya yanayoulizwa hapa.
Napatikana muda wote inategemea na mahitaji yako ndiyo yataamua wakati.
Ikiwa lengo ni kujua nyota yako, zipo njia mbali mbali zinazotumika kama vile kupitia jina lako na nyingine nyingi, ila ikiwa lengo ni kujua tu tarehe halisi ya kuzaliwa, hapo ni vigumu.
Zipo njia za kupata uwezo huo na binafsi nimetumia kwa muda mrefu na sasa nipo kwenye taratibu za kupunguza makali maana naona inanitoa katika ubinadamu wa kawaida.
Faida yake;
Unaweza kujua mengi yajayo na yaliyopita hata kama huku/hautakuwepo, kumjua adui hata kama anakuchekea au bado...
Kwa uzoefu wangu asilimia kubwa katika uganga huongozwa na wanaume ila katika uchawi hapo bado kunafungana kulingana na uwiano tofauti ndani ya makundi ya wachawi.
Ndani ya maswali yako uliyouliza yapo ambayo majibu yake yapo humu haswa kuhusu waganga na wachawi hivyo pitia page zilizopita, kuhusu haya ya siasa na uchawi niache nibaki nayo katika siri za vilinge.
Pia nikipata wasaa nitakujibu kwa kina sana juu ya uchawi na siri za ulimwengu na hapo...
Kwa kawaida ndoto huja zenyewe na kila njozi ina maana yake ukitambua namna ya tafsiri yake, lakini pia ndani ya uganga zipo dawa za kukuletea mambo mbali mbali katika ndoto.
Farka hii (uchawi wa kufarakanisha) kwa Dini ya Kiislam ni vema kufanyiwa Dua na Visomo hapo nyumbani kufukuza uadui na shari za ulimwengu.
Kwa Dini ya Kikristo ni vema kufanyiwa maombi maalum kuondoa shari hii.
Katika utibabu njia ya awali tafuta Haltiti, kaafur mait na muosha fedha...
Bado uchawi utakupata kwa kuwa kubadilisha ni sawa na kuongeza jina jingine lakini bado hujafuta utambulisho wa awali na una nguvu kwako, rabda wakosee jina ndipo uchawi unaweza usiwe na nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.