Habar za asubuhi
Tumaini langu ni wazima nyote, na kwa wale wenye mitihaani mbali mbali basi nitumie fursa hii kuwaombea mola awape takhfifu katika yale mnayokabiliana nayo,
Sina lengo la kukatishana tamaa kwa wawekezaji wa ndani au wanje, nisije nikanukuliwa kama muhujumu mapenzi...
Habari za asubuhi wana JF,
Tumaini langu ni wazima wa afya, kuna jambo nimejaribu kutafakari baada ya chunguzi zangu nyingi, nahisi ntakubaliana na mimi na japo watu wataopinga pia ila hili si jambo geni chini ya jua, muhimu nimefikisha fikra zangu.
Nilichokiona kuwa dada zetu upendo wao uko...
Habar za jioni ,
kama ilivyoada nimekuja tena , hapa na kisa hiki, Tafadhalini msinichoke ndugu zangu ni katika kupeana tu mauzoefu mbali mbali ambayo kama mwanadamu huwa unapitia , na huwenda ikawa ni funzo kwa wengine.
kama Nilivyotanguliza kichw cha habar hapo juu kinachosema "Si...
Wakuu Habari zenu,
Nimeona nami leo bila kificho wala hiyaana nishare nanyi jambo ambalo kiukweli limenitokea katika maisha yangu,
Katika miaka kama michache iliyopita Nilijikuta natokea kumpenda bint flani, ambaye kabla ya hapo sikuwa na nia ya kupenda ila nilikuwa na act tu kuwa na upendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.