Kuna wanaosifia kila kitu japo hata hakina man tiki na kuna wanahoji kujua mantiki. Kama we we ni yes man endelea kuwa hi yo na waachie wanaohoji waendelee na kuhoji.
Katika kipindi ambacho serikali ya awamu ya tano imeingia madarakani Kuna mabadiliko mengi ya kutoresults zake ziko wazi...
Muungano ni makubaliano ya nchi mbili au zaidi ili kupata nguvu ya pamoja. Nchi nyingi zinaungana na pale ambapo hamna matokea yaliotarajiwa nchi hizo zimatengana.mfano nchi ya marekani ni muungano wa nchi hamsini na nchi zilizo wahi kuungana na kutengana ni senegambia na Malaysia na Singapore...
Kama unafananisha Mrema na Lowassa unafanabisha usiku na mchana .kama unajirisha kuwa mahudhurio hayana uhusiano na ushindi msinge kodi malori kubeba watu .mwisho mwaka huu vijana wamejiandikisha fully.
Kama unafananisha Mrema na Lowassa unafanabisha usiku na mchana .kama unajirisha kuwa mahudhurio hayana uhusiano na ushindi msinge kodi malori kubeba watu .mwisho mwaka huu vijana wamejiandikisha fully.
Ukiangali kwa upeo mfupi myopic glance unaweza kusema tatizo la tanesco ni mkurugenzi lakini hapo unalinganisha usiku na mchana!. Tbl ina wenyewe ownership tanesco haina mwenyewe ni kimaanisha kwamba hakuna mtu hata mmoja anakosa usingizi pale tanesco wapopata hasara lakini kwa tbl kesho yake...
Kweli CCM mmechoka hata hoja hamna .mbunge ni mwakilishi wa eneo na kwa hilo kazi yake ni kuhimiza maendeleo .Ka zi ya kuleta maji ni ya ccm ambayo imewashinda kwa miaka 54
Kweli CCM mmechoka hata hoja hamna .mbunge ni mwakilishi wa eneo na kwa hilo kazi yake ni kuhimiza maendeleo .Ka zi ya kuleta maji ni ya ccm ambayo imewashinda kwa miaka 54
Mawazo mgando! Watanzania tuweni waangalifu moja Vyama vya upinzani vina miaka 20 tangu viruhusiwe.mgombea wa uraisi lazima awe na miaka 40 sasa mgombea lazima awe ametoka sisiem lakini sie tunataka mabadiliko !!
Lowasssa !!!
Mimi kura yangu kwa lowassa hata mumsemeje?
Dereva boda boda anaponiambia, namuunga mkono LOWASSA kwa 100% na nayaheshimu mawazo yake na namuelewa lakini na kwa msomi pia..?
[/FONT][/COLOR]
"Awe mwizi awe fisadi ntampigia kura tu " ndivyo wanavyosema waendesha bodaboda,
Hata wabeba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.