Search results

  1. K

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma leo: Mei 02, 2016

    Session ya maswali na majibu siku zote za vikao huwa ni LIVE lakini mijadala yote NO LIVE unless ianze leo kimya kimya!! Hata wakifanya kimyakimya bila kutoa "TAARIFA KWA UMMA", tutawapongeza na watakuwa wamechukua uamuzi mzuri kurekebisha kasoro hii na hata kuwa pamoja na sehemu kuwa ya...
  2. K

    Ripoti ya CAG inaonesha kuwa, Halmashauri 3 za CHADEMA zimepata Hati chafu

    Sidhani kama huku ni kujilipua au kwa kusema haya na kwa njia hii anakuwa amejilipua. Tukumbuke kuwa usimamizi wa halmashauri hizi na ktk mfumo wa vyama vingi ni complicated kidogo na hasa pale chama kinachoongoza serikali kuu kikiwa kingine na hiki kinachoongoza kaeneo kadogo tu km wilaya...
  3. K

    Kwanini Rais na Serikali wanawahadaa wafanyakazi kuhusu punguzo la kodi?

    Exactly ndivyo ilivyo sasa, nakatwa hiyo!! Asante bwana hii fomula sikuwa naijua na siku nilikuwa najiuliza hawa watu huwa wanakokotoaje Anyway, kwa punguzo hili hakuna chochote cha kufurahia and I agree with you!! Unless waje na punguzo kwa level zote
  4. K

    Kwanini Rais na Serikali wanawahadaa wafanyakazi kuhusu punguzo la kodi?

    Tume ya Katiba; Hebu nisaidie kidogo. Mimi ni mwalimu na mshahara wangu kwa sasa niko ngazi TGTS F1 ambayo Basic Salary yake ni Tshs 1,235,000/= Katika mshahara huu, nimeangalia Risiti yangu ya mshahara (salary slip) kodi ya PAYE ninayokatwa kila mwezi ni Tshs. 226,000/=!! Shida yangu ni moja...
  5. K

    Magufuli: Kuna mtu tumemkamata anataka kubadili 1.7Billion na kukimbia nchi

    Tshs. 1.7 kuzibadilisha akiwa Airport akimbie nchi? How exactly? Kwa sababu kubadilisha pesa ktk duka lolote la kubadilishia fedha (Beurau De Change) ni sharti uwe na cash hapohapo na wewe upewe palepale!! Hii 1.7bn zilikuwa zimebebwaje eti maana ni nyingi sana pengine pick up nzima kabisa!!
  6. K

    Majipu yataondoka na CCM

    Nimesoma, ngoja kwanza ninywe maji ili nije nichangie Vinginevyo, miongoni mwa wachambuzi na waandishi mahiri ninaowakubali hapa Tanzania, Ansbert Ngurumo ni miongoni mwao!!
  7. K

    Pesa za sherehe ya Muungano iliyoahirishwa zigawiwe sawa Tanzania bara na Zanzibar

    Aaah bwana, tunaanza kuambiana kwa lugha za kuudhi tena humu? Hebu acha hizo, sio ustaarabu. Unadhani na mimi nikikurushia kwa lugha ya namna hiyo hiyo patatosha kweli humu? Stop that aisee.......nieleweshe tu kama unadhani mimi sijui. Na kama huna nafasi hiyo, una ignore tu unaendelea zako...
  8. K

    Jenerali Ulimwengu: Mahakama ya Ufisadi ni kutapatapa kwa Watawala wa CCM

    Mimi nashauri tuanzishe mahakama nyingine maalumu za "wauaji wa maalbino na vibibi vizee vya macho mekundu" ......Hapo vipi eti? Yes, si hizi mahakama zingine zimeshindwa kuzuia mauaji ya watu hawa bhana, au siyo??
  9. K

    Pesa za sherehe ya Muungano iliyoahirishwa zigawiwe sawa Tanzania bara na Zanzibar

    Yes dukani, duka la uteuzi wa tume ya uchaguzi (NEC), huko ndiko wanakonunuliwa lakini baada ya kupendekezwa na muuzaji kwamba wauzwe ili wanunuzi wanunue!!
  10. K

    Hii ndio sehemu ya hotuba ya Mbunge Msigwa kuhusu utawala wa Kikwete

    Mama yangu wakati mijadala bungeni ikiwa inatufikia hadi sebuleni kwetu kupitia TV, hata kama amelala ilikuwa wakianza kuongea kati ya hawa; Rev Peter Msigwa au Tundu Lissu au Zitto Kabwe au David Kafulila au Halima Mdee mkimuamusha na kumwambia fulani anaongea, walahi alikuwa anaacha usingizi...
  11. K

    Pesa za sherehe ya Muungano iliyoahirishwa zigawiwe sawa Tanzania bara na Zanzibar

    Kupoteza kura!!?? Huyu alipigiwa kura wapi na ktk jimbo gani eti?....Mimi sina kumbukumbu kama huyu bibie ni mbunge wa jimbo aliyeshinda kwa kura!!
  12. K

    Bunge Kuendelea Mafichoni, Uwongo wa Magufuli/CCM

    Kwa kweli kuna haja ya hili jambo kujadiliwa kwa kina na wote tufikie mwafaka wa pamoja. Vinginevyo kwa kweli umetoa ushauri mzuri sana na unaofaa. Na ni kweli pia kuwa, hata ndani ya serikali na ndani CCM kwenyewe wapo wengi sana wasiokubaliana na maamuzi haya ya ajabu na ya kijinga kuwahi...
  13. K

    Zitto aibua mazito bungeni: Ukiukwaji wa Sheria ya Bajeti, ufisadi wa hati fungani ya Sh1.2 Trilioni

    Duuh!....Humu kuna vichwa maji kwelikweli Kimojawapo ni cha huyu. Maskini huyu shabiki wa Magufuli haeleweki ameandika nini na kwa sababu gani! Yaani yeye kamchoka tu Zitto. Sasa sijui kambeba mgongoni kwake!?
  14. K

    Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Mwanangu hebu mtazame vizuri huyo "sister", analipa balaa! Kama Pasco ana maslahi hapo, mwacheni tu awe nayo....ni bahati yake!!
  15. K

    Je, Kila utumbuaji ni wa haki, au kuna kumkomoa Kikwete?!

    Jamani huyu si tumeambiwa ni mke wa yule jamaa anayemiliki ile hospitali ya Mikocheni yenye jina kama "surname" yake Dr. ..........Memorial Hospital? Inakuwaje watu watake "papuchi" inayomilikiwa na mtu mwingine tena waziwazi hivi!!?? Anyway, Pasco amalizie tu story yake na asituletee habari...
  16. K

    Nina mashaka na kazi anazozifanya Rais Magufuli

    Abadilije katiba bibie? Aiache hii anayotumia ya pink na achukue na kutumia ile ya kijani? Please, hebu fafanua. Statement yako ni tata kidogo!
  17. K

    BUNGENI: Serikali imeagiza sukari kutoka nje sababu ya uhaba

    Ushauri mzuri mzuri sana mkubwa, lakini kuna mtu mmoja humu anajiita MsemajiUkweli haelewi hili. Namshauri akusome na kama ni miongoni mwa LB46 apeleke japo ushauri huu kwa viongozi wake na waache propaganda za kijinga za kutetea kila kitu wakati watu wanaumia kwa ishu hii!!
  18. K

    BUNGENI: Serikali imeagiza sukari kutoka nje sababu ya uhaba

    1. Kuna tofauti ya kusema "serikali imeagiza...." na "serikali imetoa vibali....!!" 2. Hakuna cha tamathali za semi wala vitendawili ktk hili. He meant what he said!! 3. Yaani kwa "common sense" yako unayotaka kuilazimisha iwe ya kila mmoja hapa, tuambie alikuwa na ulazima gani atumie...
  19. K

    BUNGENI: Serikali imeagiza sukari kutoka nje sababu ya uhaba

    Kuna tofauti ya "serikali imeagiza....." na "serikali imetoa vibali vya......". Hata hili nalo unataka kutuingiza chaka!? Hapana bwana, wote tunaielewa lugha yetu ya kiswahili. Na kwa kesi hii, binafsi nakushauri wewe ndiyo usitumie "common sense" yako iliyochoka kudanganya umma hapa!!
  20. K

    Serikali kuajiri walimu zaidi ya arobaini elfu ifikapo Mei 2016

    Ajira ya walimu wapya ni July mkubwa. Hawana fedha kwa sasa, wanategemea fungu la bajeti mpya 2016/2017!!
Back
Top Bottom