Wadau natumai mko poa na mwaka mpya mmeuanza vizuri, ninamalizia master ya library and information science, naulizia ni taasisi ipi au organisation gani inayolipa vizuri ambayo naweza pata kazi kutokana na hii course ninayosoma na kama unajua mishahara ya hiyo organisation itakua ni msaada mzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.