jamani mliokaribu msikose fulsa hiyo, nasi tulio mikoani tutaendelea kufuatilia kupitia vyombo vya habari. na ikiwezekana tunaomba watoa mada wasisaha mikoani ambako ndio kuna idadi kubwa ya watu tusiojua hata rangi ya katiba iliyopo sasa!
hivi ni nani waliokwenda na silaha? chadema au polisi na kwa nini waseme chadema ndio waliokosea ilihali hawakuwa na silaha yoyote? Ipo siku mambo haya yatakoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.