hizo ndio pre match za jakaya.., alisema mbinu wanazo watu wa UKIWA a.k.a UKAWA wakarelax wakajua mbinu ni kuiba kura October yaani kama siasa digital basi CCM ni kama dstv then ukawa ni azamtv.. bado tu mtakimbiana wenyewe kwa wenyewe..,
magufuli alikuwa anashambulia serikali almost kila siku.., na wewe ulietoa post ukaona sawa.., sasa week hii tu kuandika habari ya lowasa roho imekuuma tena katka katuni ulizotuma unaona moja hiyo ni kama anamponda magufuli kuwa anaomba aandikwe coz lowasa ana make headlines kwenye magazeti yote...
Yaani leo wanamtaka fisadi lowasa na kumsifia mtu wa maamuzi magumu.., lakini kilichoniacha hoi ni pale aliposema wameagiza container la kadi za chama kutoka china.. Card from China then wanajiita wazalendo???
kumbe mnajua kuwa kunahitajika uchunguzi.. sasa kikwete akifanya uchunguzi m nalalama anachelewa.. nyie kuchelewa sawa..?? sasa kilaini anahitaji uchunguz upi wakati hela kakubali kupokea??!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.