Wakuu rafiki yangu hivi ninavyoongea ni mtu wa mawazo muda wote . Naombeni ushauri wenu kuna jamaa alimtongoza alipokataa akamwambia atamkomoa. Atafanya awezalo ili asiwe na mwanaume yoyote kimapenzi
Na huyo jamaa Baba yake ni mganga wa kienyeji kwa ufupi ni watu wanaotumia nguvu za giza...
Unamuacha mpenzi wako mliyedumu miaka miwili na kuoa mwingine. Cha kushangaza hata miezi sita ya ndoa bado unarudi kwa x wako kuomba tena muwe wote.
Hii inakuaje kaka zangu? Unamfuatilia x wako unataka ujue kila anachofanya katika maisha yake hii inakuaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.