hello Jf members! Nimekuwa nikijihuliza sana hivi ni kwanini kuna majina ambayo mara nyingi hupatikana kwa waislamu weusi kwa mfano khamis, Maulid, Abasi na mengine mengi maana hata ndugu yangu mmoja anaitwa kwa majina kama hayo. Naomba msahada wenu labda mimi nina uwelewa mdogo juu ya hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.