Hi,
Jamani hiv had leo bado inasumbua kulogin maana kichwa chauma waniambia email adress lazma iwe na @ wakati wamenipa namba ya kituo ya mtihani na mwaka nliofanya mtihani ila leo wananisumbua. Nawaomba nanyi angalieni ni km mm au ili mnisaidie.
Ahsant
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.