jamani poleni na majukumu ya kila siku mimi nahitaji kuoa na nini msichana wangu niliyekua nae kwa muda wa miaka sita toka enzi za secondary lakini imekuja kuwa vigumu kumuoa kwani mama yangu mzazi anapinga mimi nisioe kwa kigezo kua yeye amenitafutia mwanamke mwingine lakini mimi sijamwona pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.