=>mr bean
=>kelvin
=>mr bones
=>baby baby
Hz ni movie zilizosumbua kweny tasnia ya filamu upand wa comedy
Hz ndio nizikumbukazo taja na ww movie gan ya comedy uliyoipenda
MZEE: Kijana wangu unaweza kunielekeza mtaa wa Kiyungi
.
TEJA: Dah babu sijawahi kuusikia mtaa huo.
Baada ya dakika chache, yule Teja akaanza kumuita yule babu aliyekuwa kaenda mbali kidogo na babu wa watu akajikongoja akarudi:
TEJA: Babu nimemuuliza rafiki yangu kama anaujua mtaa wa Kiyungi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.