Kazi ya first lady ni kumwandalia JPM chakula cha nguvu baada ya kazi ngumu ya kutumbua majipu! Huoni kitengo cha mapishi kilikatwa kwa maana ya kubana matumizi sasa wewe unataka azunguke wapi, ikulu panamtosha kuzunguka na kumsubiria mmewe bana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.