dah hilo la bac kuwa na mlango m1 hta mm huwa linanishangaza sna. kwa case ka hii watu 50+ kutokea mlango m1 kuna hatari ya wote kufia mlangoni. japo mungu akipanga kifo day hiyo huwezi kukwepa binadam but kuna zingne huwa hapangi yeye tunatengeneza mazingra wenyewe.
Mimi mchangiaji m1 hapo juu amenifumbua macho kwa kiac kikubwa na nadhani hasa ndio vyanzo. Amesema 1. panic 2.electricity system kublock hii inaweza kupelekea vitu vingi kushindwa kuoperate kama kawaida + panic uliyonayo ukashindwa kujiongeza faster I mean unaweza ukawa hata na hiyo nyundo...
huwezi kusema kuvunja mkataba ni simple tu lyk that.kuna fidia take ambayo sidhani ka ni affordable. sema kwa mahakama zetu hzi uchwara nakubali lolote linawezekana tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.