Nikipindi kifupi tu kimepita baada ya mhe. Rais wa jamh. Ya muungano wa TANZ. kuzuia uingizaji wa bidhaa ya sukari kutoka nje ya nchi. Ni jambo jema kwa uamuzi huu wa mheshimiwa rais kwa mstakabali mzuri wa sukari ambayo inazalishwa nchini kwetu. Hata hivyo baada ya tamko hilo la mhe. Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.