Mungu aepushie mbali na wote wawe salama!japo ni mwana mabadiliko lakini naumizwa sana mwanadamu mwenzangu anapopatwa na maafa!wenzetu wanatakiwa washuhudie mabadiliko na walichoshindwa wao wenzao wakiweza huku wakiwa na afya tele!maana mwisho wa siku sote ni Watanzania na sote tuna nyama na...
Nadhani wangepata elimu walau ya shida kwa level ya Marehemu Kanumba wangekomboka kifikra!mbona sasa wanahutubia watoto wengine kama wanaendelea na shughuli zao tu,Arusha wanakuja lini?
Mzee ana vituko sana huyu,ila the problem ni kua zinatumika hela za bure tu,imeshakua too late!kubadili mindset ya wale waliodhamiria kumpa kura fulani kwa sasa haiwezekanibtena,mimi nipo rural area tena ndani hasa huku Morogoro naliona ilo,vijana wanasema hata kwa nini msimamo wangu...
Ukweli ni kua Morogoro hasa Kilosa,Vijijini na Morogoro mjini bado Ccm wana nguvu sana,ila kwa Kilombero na Mahenge kule Ccm ni kama imefutika,nadhani kwa majimbo hayo hata watu wake walibahatika kuelimika mapema sana ku compare na majimbo mengine ya Morogoro huu ni ukweli ulio wazi
Ujinga mtaji,mimi nadhani kama ni kweli hata hao wali wahonga hawajitambui,hao kina Ray wana impact gani kwa wapiga kura hasa vijana wa Kitanzania?kukosa elimu kwa wasanii wetu na kutojitambua ndio kuna gharimu!nawapongeza lakini kama kweli wamevuta ilo bingo la 65m maana sidhani kama kazi zao...
Mkuu habari na asante sana kwa uzi huu,sasa mimi shida yangu kubwa nilikua nataka kujua zaidi kuhusu kilimo cha mbaazi hasa mkoani Morogoro!je naweza pata contact zako mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.