Search results

  1. T

    Kutoa hela kwa boyfriend

    Nina rafiki yangu ana kazi nzuri tu ila wameachana na boyfriend wake kisa kikubwa alimuomba hela kama mara mbili hivi na hajawahi kumpa sasa hii mara ya mwisho huyo kaka aliomba akopeshwe mil 1.5 alipe mwisho wa mwezi alipoambiwa kuwa haipo ndo akachange hadi kumuacha huyo rafiki yangu kuwa siyo...
  2. T

    Post graduate ya education

    Naombeni mnisaidie wana jamvi eti serikali bado inaajiri hawa walimu waliosoma post graduate ya education?na kama ndiyo ajira za ualimu zinatoka lini?
Back
Top Bottom