Kama mimi sijaona cha kucheza, nineenda championship kule nimecheza kona maana huwa wanajitahid sana kona na foul ila mhind kaamua kuondoa foul kwenye game zote. Hawa jamaa huwa wanapigana sana Mitama ukicheza foul utakula tu
Nadhan huwa hatuangalii sana ila kwenye kampuni zote ICE HOCKEY kuna option 2 ambazo ni 1X2 (hii ni dk 60) na nyingine ni MATCH WINNER (Hii mpaka.penalty)
KING BET ni BETPAWA iliyochangamka wao wamejiongeza kidogo game nyingi wanaweka option ya KONA na ligi ya bongo ipo na game nyingi wanaweka kuanzia over 0.5 sio kama betpawa waoga game nying wanaanzia over 2.5/3.5
Tunaangalia na point hiyo under 0.5 point ndogo sana ukilingalisha na hii kwa game 4 za cku hukosi odd 3 na point ,sasa hapa ni kupiga maombi lisiingie goli ktk dk 15 za mwanzo baada ya hapo sala inabadilika unaomba goli lipatkane
Game 10 Daily ( mini train )
Game 2 ICE HOCKEY over 4.5(DEL, MHL)
Game 2 CORNER over 8.5
Game 2 OVER 2.5
Game 2 OVER 1.5
Mwisho ila sio lazima unaweka game 2 Direct Win au Double Chance.
Au u aweza tafuta 2 kwenye basket NBA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.