Na hao wanaojifanay wanajua kila kitu,ulimwengu wa ssa wa kujua kila kitu??we unaleta usomi wa kizamni kabisaaa "mr Know All" hawa ndo unawakuta wilyani huko ukiwaambia mamb hayaendi hvo ubishi tu?? Anijafany gyana yye surgeon yye paed,anesth yye,ssa matokeo ya anchofany aibu kusema..badilikeni...
Ni kweli kabisa angalia wanavojichngnya hao "wapiga marufuku" kuna contagious na fecal oral desease,kipindupind ni fecal oral deseas.. Hvo kusongaman hakulet kipndpindu nnasikitika dmo's na rmo's wapo kimya kama vile na wao.. Any way tumezoea ovyoovyo kweny hii tz sina matumaini na kiongoz yyote...
Na ungana na wwe %100 mb co mdhamni au mfadhili ni muwakilish wako katk kutatua kero hasa hasa katika dhana ya uwakilishi, vile hatuwez wote kwenda kila mahali kujiwakilisha tunahitaji mtu wa kwenda badala yetu... Sio kutoa pesa mfukoni hata ujio wa mfuko wa jimbo ni matokeo ya wapga kura kuombaomba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.