Pamoja na Yote haya ila Maaskofu wamekurupuka kwa Tamko linalofanana na matamko ya vyama vya siasa na hilo ndilo tatizo kubwa. Wangejitofautisha na Chadema wangefanikiwa zaidi.
Shida ni wale unaoingia nao maridhiano wengi wao haswa viongozi wako kama vinyonga. Kila saa wanabadilika Rangi. Mfano ACT visiwani ipo kwenye umoja wa serkali kabisaa ila kashfa wanazotoa utafikiri hawako serkalini na wala kwenye maaridhiano. Watu kama hao hata uridhiane kwa miaka 10 hakuna cha...
Imethibitisha hakuna Upinzani TZ zaidi ya Njaa za wanaojiita viongozi wa upinzani. Wate wana njaa kali. wameonyeshwa pesa kidogo tuu lugha zimeguka, sio Mbowe wala sio Lisu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.