Huyu mzee mshirikina mkubwa, mla rushwa mkubwa, amevuruga hata mwelekeo wa Chama chake. Hivi gharama ya kulinda maandamano yaendelee kwa amani na matokeo ya kulazimisha watu waitii mamlaka aisemayo chini ya CCM ndiyo kuuwa watu na kuuharibu mji ambao ni GENEVER ya Africa. Sipendi muandike habari...
Huyu alinunua kiwanda cha ngozi kule Morogoro halafu alikuwa na kampuni ya African Trade pale PUGU Road ambayo kasheshe wewe'''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''
Dowans
Eppa
Vodacom
Kagoda
TICTS
Huyo wamwisho amepangishwa nyumba yako kwa miaka thelathini na tano na Mramba aliwaandikia barua wadau wampe ushirikiano. Aisee mpaka tutakapokuwa tumekufa
Wewe ni judge halafu unatamka maneno hayo kesi gani utaifanyia haki? Marekabisho kwa kuandika katiba ni lazima huwezi kushindana na PEOPLES POWER. Wewe unatulinganisha wenzio na BATA tuonee huruma mambo mazuri huanzishwa na wachache kwani akili ni nywele kila mtu ana zake au wewe huna nywele au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.