<p>
</p>
<p> </p>Kwa nini hukuwahi hoji utetezi wa Bob Makani(m'kiti mstaafu wa CDM) kwa balozi Prof Mahalu ktk kesi ya ufisadi kule Italy?mnajifanya kuhoji leo hii baada ya upepo wa siasa kuwakalia vubaya. ccm na cuf acheni kuhoji vitu ambavyo mnavifahamu...siasa itenganishwe na...
Consistency unayoizungumza wewe ni ipi? Kuwasiliana na rais pamoja na other ccm members saa chache kabla ya walk out? Kukimbilia media na kutafuta umaarufu? Au kuomba uwaziri kwa Kikwete? Acheni kuiharibu CHADEMA kwa kuendelea kumjaza Zitto ujinga ilhali mama yake mwenyewe kakili mtoto si rizki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.