Naona wewe na mtoa mada hamfuatilii speech za mawaziri vivuli. Mfano tu, fikiria speech za akina Mnyika, Mdee, Zitto, Lema na wenzao. Cheki pia kamati za kisekta zinazoongozwa na wapinzani, eg zitto, cheyo na mrema
Sidhani kama kuna mpinzani anayejiandaa kuwa waziri. Pia haiwezekani kwa sasa mtu yeyote asiye mbunge kuteuliwa, wa kuondolewa kwa PM Pinda, maana hatua hii italazimisha ama kusubiri bunge la Juni au JK/SPIKA kuitisha la dharura ili kuwaapisha au kumthibitisha PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.