yani meya anapinga tu bila kujua mipaka yake. mkuu wa mkoa ni bosi wake asije akajiingiza kwenye migogoro isiyo na msingi. Yeye ashughulike na usafi wa jiji na si kamati ya usalama
Mbona unaongea kama haujaenda shule kabisa. Yani unadiriki kusema wasije kabisa, au unaelewa nini unaposikia wageni. Tena tunakamsemo ketu: "mgeni njoo mwenyeji apone". Mtoa mada na nia njema ya hela ya umma isipotee halafu wewe unaleta maruhani yako, kisa bando unalo.
Ukweli ni kwamba hawa jamaa kwa nguvu yao ya mtaji wanajirundikia bidhaa ili waweze control bei. Na huo ni uhujumu.
Na hili la sukari ni tip of iceberg. Wanfanya hivyo hivyo pia kwenye mafuta ya kula na bidhaa nyingine muhimu.
Toka lini akaitwa mwanasiasa ndugu, haujui unachoongea. Cheo cha Rais ni CEO wa nchi.
Labda aende kwa kufia nyingine ya uenyekiti wa chama ndipo anakuwa mwanasiasa.
Yani unaota na kutamani tuwe na Rais ambaye anayaogopa mashirika ya umma halafu unaamini tutakuwa salama.
Angalia habari current...
Haujui maana ya neno uhujumu?
Hata kama pesa yako lakini chukulia umekuwa wakala wa kuuza tiketi za show ya mwanamuziki au mechi uwanja wa taifa. Hata ukimpa msanii akija ukumbini kwamba hela yako hii hapa, utakuwa umemuhujumu.
Kumbuka mfano wa yule aliyefukia talanta yake bila kutia hasara wala...
umeisema juu ya nini hapo mzee. nimekupa data kwamba mnadai wanaogopa kutoa taarifa za kodi mwezi uliopita wakati ukweli kuna miezi walitoa way zaidi ya hapa.
ukiitoa kasoro kama kutoonyesha bunge live inaeleweka ila kwa hili japo shukuru kwa hiyo research niliyosaidi hapo.
Hapa nimewawekea tarehe zilipotangazwa miezi iliyopita:
for December ilitangazwa January 06 2016
for January ilitangazwa Feb 23, 2016
for February ilitangazwa March 9, 2016
for For March ilitangazwa Apr 4, 2016
Hapa nimewawekea tarehe zilipotangazwa miezi iliyopita:
for December ilitangazwa January 06 2016
for January ilitangazwa Feb 23, 2016
for February ilitangazwa March 9, 2016
for For March ilitangazwa Apr 4, 2016
Mngefanya research kabla ya kuponda ndio vizuri. Tutangulize uzalendo na si kufurahia au kuombea serikali ifeli.
Hapa nimewawekea tarehe zilipotangazwa miezi iliyopita:
for December ilitangazwa January 06 2016
for January ilitangazwa Feb 23, 2016
for February ilitangazwa March 9, 2016
for For...
hivi unajua hao wa maofisini hawafiki hata 1%. Na ni hao walizoea kupiga hela kwa wizi, ufisadi, rushwa na kutakatisha fedha za umma. Hivyo si ajabu unavyoona sasa wanalalamika baada ya kubanwa.
ndio maana nasisitiza mamlaka ya kuhakikisha usafi ipewe nguvu serikali ya mtaa. kwani hao ni rahisi kudhibitiwa na wakazi wa mtaa husika kama mzoa taka hatokei.
Hilo ni moja tu la kutisha na lina target specific group of people in our society.
Bomb lingine kubwa na maangamizi ni la ufutaji wa expiring dates na kupiga mihuri mipya ili bidhaa ziendelee kuuzwa madukani.
Amini usiamini hii ya kulishana sumu inamkumba kila mtu. Wakishindwa kufuta wanafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.