Ukimsikiliza yule nusura wa ajali, alivyokuwa akisimulia, kuna ukweli Fulani wa hili. Alisema, wakati wanazunguka Angani, Rubani mmoja alitoka katika chumba Cha Marubani, akaja huku kwa abiria, akamwita Air Hostes akawa anamnong'oneza kitu, Kisha akawa anachungulia nje ! Kuna uwezekano alikuwa...
Huwezi kufungua mlango wa Ndege kwa kupiga na eti Kasia, never, hata wa gari tu huwezi kupiga na kasia ukafunguka,. Mlango ulifunguliwa na wafanyakazi wa Ndege, sema majaliwa alikuwa Kati ya watu wa Kwanza kufika pale, na kusaidia watu wengine kutoka ndani ya Ndege. Na wakina majaliwa walipofika...
Rubani ni mtu anayetakiwa kuwa, Physical and Mentally Fit muda wote, Rubani anatakiwa asiwe na Stress wala Hali yoyote ambayo itamsababishia kero yoyote kichwani kwake, ili isiwe rahisi kwake kufanya makosa ya Kibinadamu (Human Error) kwa Urahisi. Kurusha Ndege Ni kitu Sensitive Sana, Siyo...
Mawasiliano ni lazima yalikuwepo, Kati ya Rubani na Control Tower (ATC) yaani Air Traffic Control, lakini Sasa, sisi hatuwezi kuyapata kirahisi, Kwanza Ni lazima yawe Downloaded kutoka kwenye CVR, Cockpit Voice Recoder, hiyo ni Black Box, Au yawe Downloaded kutoka kwenye Air Traffic Control...
Najaribu ku Focus, Miaka 20 ijayo itakuwaje, maana kila mwaka naona Kabisa tunazidi kushuka kimaarifa na kielimu, yaani Graduated wa Sasa hivi, huwezi hata kumlinganisha na Middle school wa zamani, Kuna Kitu hakipo Sawa. kuna mambo yanafanyika mpaka unashangaa Kama kweli yanafanywa na watu...
Uchunguzi Ni lazima ufanyike, na majibu ya chanzo Cha ajali Ni lazima kipatikane, hii Ni kwa sababu Kwanza kuweza kuzuia ajali Kama hiyo, isiweze kutokea tena, pili Kama Ni Pilot Error, kwa maana ya Human Error Basi, marubani waweze kupewa mafunzo zaidi kulingana na hali halisi, pia Kama sababu...
Championship, Upo sahihi haupo mbali na ukweli, kilichosababisha hii ajali kwa kuangalia haraka haraka Ni " stalling" au Loss of Lift ya Ndege, Ukiangalia utaona Rubani alikuwa kwenye low Attitude, na Speed ilikuwa ndogo, alikuwa anatafuta uwanja auone Kwanza ili aweze kutua, Sasa kutokana na...
Kuna uwezekano mkubwa wa "Human Error" katika hii ajali, nakaribu asilimia 90 za ajali za Ndege duniani ni Human Error, makosa ya Kibinadamu. Na human Error inakuja pale kukiwa na mchanganyiko wa vitu vingi, mfano pale hali ya hewa ilikuwa mbaya, Rubani Kama binadamu akalazimisha kuwa na Option...
Hakuna Utaratibu wowote wa kwamba Ndege ikishindwa kutoa matairi basi ikatue kwenye maji, never. Ndege ikishindwa kutoa matairi inatakiwa itue Airport pale pale, labda tu, kando ya Runway kwenye majani. Kwenye Maji ndio mbaya zaidi
Sina uhakika Kama Marekani wali zi fase out hizi ndege Aina ya ATR, lakini ni kweli kwamba ajali nyingi ya hizi ndege duniani, zimetokana na hali ya hewa mbaya, Kuna uwezekano Mkubwa kuwa hizi ndege haziwezi kuhimili hali mbaya ya hewa, hata uki Google utaona.
Human Error, Rubani alishawatangazia abiria kuwa, hali ya hewa siyo rafiki, na Ana taka ku Divert kwenda Mwanza Airport. Sasa kilichomfanya ajaribishe kutua Ni kitu gani ? Ndege siyo gari, kwamba unajaribisha kuvuka kwenye tope likikwama utavutwa, ndege Ni shughuli nyingine !, Uki fell ku...
Ngorika ile Macedonia ilikuwa noma, kuna siku nilipanda Moshi kuja Dar, ilikuwa inakwenda kama Ndege, kuna Mzungu alinyanyuka akaenda kuchungulia Speed Meter, sikujua alimaanisha nn ?
Kama kuna wahenga wenzangu humu, Kumbukeni siku za Nyuma kulikuwa na magari aina ya Volkswagen, maarufu wakati huo kwa jina la "Combi" yalikuwa na Engines Nyuma na yalitengenezwa Ujerumani, magari haya nayo yalikuwa na tatizo la kuwaka moto Nyuma kwenye Engine yake, na yakienda safari ndefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.