Unahonga madiwani na wabunge wa upinzani kwa mamilioni ya fedha, badae uchaguzi unarudiwa kwa mabilioni ya fedha...iko wapi dhana ya kupambana na rushwa hadi kuwa na mahakama ya mafisadi? nisaidieni kuelewa..
huyu rais atavuruga mambo mengi sana, huko ni kuingilia sheria za mazingira na kwa kauli hiyo kundi kubwa la watu wataanza kulima kwenye vyanzo vya maji na kando ya mito! namuomba Mungu atupatie uzima tutaona vituko vya kila aina hadi kufika 2020
Mimi pamoja na Mhasibu Mkuu Ndugu Andrew Wray tumetangaza rasmi kwamba hatutokuwa nanyi tena katika Acacia mwisho wa mwaka. Ulikuwa ni uamuzi mgumu sana kwangu na kwake kutokana na miaka 4 ya mafanikio ya timu ya Acacia ambao tunajivunia. Binafsi, uamuzi wangu wa kuacha kazi unatokana na maswala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.