Nchi ni ya watu wote,lakini wengi wao ni wananchi wakawaida(si viongozi wa wenye utajiri),hawa ndio wenye nchi maana hawanapakwenda zaidi ya ndani ya taifa lao. Basi watakachokiamua tar25/10 basi nakiwe ndio furaha yao ndani ya taifa lao.
#mabadiliko2015
Uliisave namba kabla ya screen shot? Naona jina lipo hapo juu au mlikuwa na mawasiliano kabla?
Na kama ipo hivo NEC wanachakujibu isije kura yangu ikaenda kwingine kwakweli. Imeniudhi.
Na ili tuweze kufanya tathimini sahihi na ya viwango katika utendaji wa serikali,yatupasa tupate utawala wa vyama vingine ili baada ya miaka kadhaa tuone wapi tulipo na ni watu ndo tatizo au mfumo?
Wananchi 90% wanataka mabadiliko nje ya #ChiChieM na hili linaonekana wazi,mfumo mbovu utaleta utendaji mbovu,mfumo imara utaleta uwajibikaji,#mabadiliko2015 hayaepukiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.