Mama ukipata muda na kama ukiona inafaa jaribu kutuelezea kwa maoni yako unadhani ni kwa nini rais ameamuua na kulazimka kukubali mchakato wa katiba ambao haukuwa kwenye ilani ya chama chake? Itapunguza watu wanatoa commet kama hiyo hapo juu.
Unajua huko ambako si uraiani inawezekana wana behave kulingana na kikile wanachokusudia kuachived, sasa kwa nini wengine hili linawapa tabu? Wakati mlikuwa mnamuona rational ndicho alichotakiwa kufanya na sasa amefanya alichotakiwa ambacho kwa wengine si, na wengine ni, rational. Ingawa angekua...
Naona ni mkakati endelevu, wamemaliza kupanga safu zao bungeni sasa waendelea na hatua nyingine. Baada ya Magufuli atafuatia nani mwingine ambaye mnamuona ni tishio? Nikulize kwani ule mkakati wa samaki haukufanya vizuri?
Kama maneno yaliyo andikwa na huyu comrade ni, namnukuu, "chadema sasa tusonge mbele na mimi nikirudi uraiani, mwisho wa kunukuu". Hivi hii lugha ya uraiani inatumiwa na watu waliopitia au wenye taaluma gani hasa? halfa tafakari alichoandika. Katika kuchangia bunge, kila akiongea mb wa cdm...
Wananchi tutamhuku yeye PM na cha chake kwa wakati mwafaka, na hivyo ndivyo itakavyo kuwa kwa Lema na chama chake wakishindwa kututhibitishia kauli zao, kuonyesha kuwa tumechoshwa na viongozi wachovyo wa kufikiria ila wanaturopekea tu kwa kadri wanavyojisikia wao.
Nilivyo muelewa mimi huyu mawe matatu ambaye sio original ni kati ya walioshindwa kazi, pia inaonyesha ni msanii kwani jina mawe matatu si lake kwa asili, kaiba jina la mtu. Au Mdasi wa Mwitu ndiye mawe matatu original. Flight of ideas.
Yeye ametutatuilia tatizo la umeme kwa kuliongeza au kwa kurudi rivasi, tarehe zote alizotuahidi huko nyuma kuatutakua hakumamatatizo ya umeme zimefika zimepita, hakumbuki anaendelea kutoa ahadi nyingine za tarehe.
Kitu kingine ambacho wanatakiwa hawa cdm ni kuwa makini sana katika kila wanachofanya na kuchangia bungeni. ccm, spika naibu wake na wapinzani mamluki wanatumia character assassination kwa kuwalenga baadhi ya wabunge wa cdm na matendo ya cdm, kutaka kuionyesha jamii ubaya wa cdm, sasa cdm...
Lazima iwaume wao karibu wote hawajiamini, wamelelewa mambo yote ni ndio mzee sasa wakiona siasa za kisasa zinavyoendeshwa wanabaki kukosoa wanasahau wananchi walicho watuma, kwa uwakilishi huu na wakishindwa kubadilika kuendana na wakati watazidi kupungua humo mjengoni.
Ukiyasoma maneno haya na kuyatafakari utagundua walioyatoa na kuyaandika walikuwa na akili na waliona mbali. Lakini tunaweza tukawaendekeza wapumbavu wakatuletea kuchanganya dini na mamlaka ya nchi isiyo na dini. Tukiwakubalia ikatokea hivyo, tutavurugana sana na mwisho wa siku tutakuta hakuna...
Kiongozi hapa nakupigia saluti. Tunamuomba mungu awabariki viongozi wetu, inatia kinyaa na kichefufu pale unapowaombea viongozi baraka ili wawatumikie mafizadi na matumbo yao wakiwaacha wananchi, taabu kwelikweli lazima ubadilishwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.