Search results

  1. C

    Tuliochaguliwa IMTU tujuane tafadhali

    wale wa IMTU tuchangamke basi!!!!!!..
  2. C

    Msaada heslb

    jamani wakuu eti mkopo kwa mtu wa medicine 100% ni tsh ngapi!?
  3. C

    Jinsi ya kuhama chuo ulichochaguliwa kama hukipendi

    woga wangu ni mkopo kwa kwel sijui itakuwaje na nataka kuhama
  4. C

    kwa anaepajua vizur archbishop james..

    jamani kama alivyosema mwenzangu hapo juu kama unafahamu kasoro iseme basi ukizunguka unakuwa hautusaidii kwasababu lengo la kuanzisha thread ni tusaidiane kwa unachokifahamu
  5. C

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    aisee kuna watu hata chembe ya aibu hawana!!.leo umesahau kiapo doh mbaya sana hlf bila aibu eti shetani alitupitia haya bhana
  6. C

    kwa anaepajua vizur archbishop james..

    ooh asante na vp elimu inayokuwa offered pale ni ya uhakika!!?
  7. C

    kwa anaepajua vizur archbishop james..

    jmn naomba nijuzwe kuhusu chuo cha archbishop james kama kiko poa..si mnajua tena kile chuo ni kipya...msaada please
  8. C

    CAS is now open for 2nd round applications only

    kwa tz mpaka tuje tufike cjui lini kwa kwel tunauhitaji kwenye ishu za afya lkn.....kaz sana
  9. C

    CAS is now open for 2nd round applications only

    hv wakuu inaonekana hv vyuo kairuki na IMTU havina wadau ee!!?? mpaka na second round vpo duh!!?
  10. C

    CAS is now open for 2nd round applications only

    jmn mbona IMTU haipo instead naona kairuki??? naongelea second round
  11. C

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    wakuu heshima kwenu naomba nisaidiwe nimekwama kidogo nimekuta choices zangu ziko vilievile pamoja na capacity zake na sijaona sehemu ya kuconfirm msaada tafadhali
  12. C

    Second Round Application TCU

    jaman wadau KIU,IMTU na St Joseph vinafa!? naogopa kuingia kwenye matatizo msaada tafadhali
  13. C

    Wanafunzi wa Kampala International University kushitaki chuo na Serikali

    kinachoonekana hapo ni mambo mawili either ni siasa au kukosekana taarifa sahihi za jambo hili kwasababu barua ya trh 28/05/2015 inaelekeza kwamba KIU iendelee kutoa kozi zote zinazolalamikiwa ILA mwanafunzi atakapohitimu INATAKIWA aripoti TCU ambako atapewa utaratibu wa kwenda kwenye baraza la...
Back
Top Bottom