Wadau,
Kwa heshima na taadhima naomba maoni yenu kwenye hili pia.
Je wagombea wa vyama wanaruhusiwa kubaki ndani ya vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura zao?
Na je wanaruhusiwa kuwepo kwenye kuhakiki kura kama mawakala na wasimamizi??
Nawasilisha.
Naomba tujaribu kutumia busara na hekima katika hili suala, baada ya kutafakari kwa muda, inaonekana kuna namna watanzania tunatawaliwa na chama tawala tena kwa mbinu za kisaikolojia. Ni kweliiiiiiii???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.