wakimtambua hakutakuwa na dhana ya upinzani na wananchi tutawaita wasaliti kwani inavyosemekana kuchakachua kura kulikuwa kwingi watanzania tuwaunge mkono chademakwa yale ya msingi wanayyafanya.
hainiingii akilini zomea zomea ya wabunge wa ccm natamani mikono yao ingeganda kwenye viti najua ipo...
UTANGULIZI na (Muzo,Shalom,Deusdedit)
Katika kutafakari maisha ya watanzania tokea uhuru mpaka hapa tulipofikia 2010 nawaza naona pich ambayo watanzania wanatakiwa kuwa nayo nitofauti na iliyopo, badala ya kufarijika nazidi kuwa na msongo wa mawazo kila siku,nawaza sana natamani nchi yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.