Hakika nimeshtusa sana Na kauli zilizotolewa Na Rais mstaafu Mkapa za kuwatukana watanzania kuwa ni Wapumbavu Na Malofa.Ukweli Mzee Mkapa kama kiongozi Wa taifa hili hakustahili kuonyesha chuki binafsi kwa watanzania. Kila mtanzania ana haki ya kuamini kuabudu chama atakacho Na pia kujiunga au...
Sasa nimeamini kuwa CCM kichaa kimepanda.Ni vigumu kuamini kuwa Rais Mstaafu Mkapa anaweza akapanda jukwaani kumnadi magufuli kwa kutukana matusi .Inabidi tuamini kuwa matusi yamo katika ILANI ya CCM ambayi Magufuli ataitumia kuwatukana watanzania ambao ni wapiga kura.Ombi kwa vyama vya upinzani...
Watumishi Wa Serikali nadhani mnaikumbuka kauli ya mgombea uraisi Wa CCM alisema hana Baja Na kura za watumishi.Uthibitisho wake in pamoja Na kushindwa kuwapa mafao bora hao watumishi pia kutowapandishia mishahara yao hali ambayo imekuwa kero on a wao viongozi Na wabunge walivyoboreshewa maslahi...
Nakumbuka Jeshi la Polisi lilipiga marufuku wananchi kupelekwa kwenye mikutano ya kisiasa kwa kutumia malori .Cha ajabu idadi kubwa ya malori yamekuwa yakibeba Na kushusha watu maeneo ya jangwani kwenye uzinduzi Wa kampeni za CCM ili kujaza watu.Ushauri kwa Jeshi la Polisi kama CCM wameruhusiwa...
Hakika nimeshangazwa sana na Viongozi Wa CCM kutawanya Picha za Magufuli na kuzibandika sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja Na kwenye KUTA ZA VYOO.
Kitendo hicho nimeshindwa kukielewa kama no kumtangaza au kumdhalilisha .Picha hizo zimebandika katika vyoo vya Shule ya msingi Kalimi .
Hali...
Hivi ndivyo hali ilivyo.Ni jambo la ajabu kuona watoto Wa masikini waliosoma kwa shida kubwa ndio wamekuwa mstari Wa mbele kuishabikia CCM chama ambayo huo umasikini wao kimeuleta.Watoto hao maisha yao Na ya wazazi wao ni duni kule kijiji lakini badala ya kujikwamua Na hali hiyo wao wamebaki...
Ama kweli sasa yametimia .Tabia ya kuzomea ni tabia iliyoanzishwa Na WABUNGE WA CCM.Wabunge hao wamekuwa wanawazomea kwa nguvu zote wabunge Wa Upinzani hivyo Tabia hii imeanzishwa Na CCM.Kwa sasa kutokana Na kuchoshwa Na Ufisadi Wa viongozi Wa CCM Na Serikali yake Wananchi bila kujali itikadi...
Viongozi Wa juu aa CHADEMA Tafadhali sana msiwachukize wanachama kipindi hiki cha uchaguzi kwani hatutakiwi tupoteze wapiga kura tunatakiwa tuongeze wapiga kura. Kitendo cha uongozi Wa juu kuondoa majina ya wagombea waliopitishwa na wanachama hakifai tuheshimu matakwa yao. Mrudisheni mgombea Wa...
Ni jambo la kuchekesha Na kushangaza kwa Mgombea Uraisi kwa tiketi ya CCM kuwadanganya Watanzania eti anazijua shida za watanzania LEO.Shida za watanzania zilijulikana kabla Na baada ya Hayati Mwl Nyerere kutukomboa Na tokea hapo TANU imekuwa madarakani mpaka CCM inazaliwa Na shida...
Ni imani yangu kuwa nchi yetu kwa sasa INA vijana wasomi ambao ni tegemeo la taifa.Naamini wao ndio wanastahili kutuongoza wananchi kujua mambo mengi ya taiga letu hususani masuala la uchumi Na yote yanayoweza kumletea mwananchi ustawi ktk maisha.Nchi yetu ni tajiri INA raslimali nyingi sana...
Watanzania mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM Bw.Magufuli ana kamsemo eti "SITAWAANGUSHA" nachukua nafasi hii kumkumbusha aliyotuangusha ili akili kuwa kweli alituangusha Na asipofanya hivyo HATUFAI
1. Uuzwaji Na ugawaji Wa Nyumba za serikali Mali ya watanzania wote.
2. Ununuzi wa meli chakavu...
Watanzania hakika tumechoka kudanganywa kama watoto wadogo Na viongozi Wa chama cha Mapinduzi kila wakati Wa Uchaguzi kwa kutoa ahadi zisizotekelezeka Na za uongo kwa nia ya kupata kura hakika HATUDANGANYIKI. Mwaka 2005 Watanzania tuliahidiwa MAISHA BORA KWA KIKA MTANZANIA matokeo yake ni Maisha...
Hakika CCM imeushangaza umma kumpitisha kugombea ubunge Anna Tibaijuka MTU ambaye anakabiliwa Na tuhuma za kujipatia fedha za Escrow.CCM hiyo hiyo ilimvua nyadhifa zote Mama Hugo kwa madai ya kukiuka maadili ya chama Na uongozi.SWALI he kitendo cha kumpitisha kuwa mgombea kinaashiria ana maadili...
Kituo cha ITV leo kimeushangaza umma wa watazamaji wake kwa kitendo cha kutangaza habari za chama kimoja wakati matukio ya vyama vyote yanafanana. Tunapenda kuuambia uongozi wa ITV utambue kuwa vyama vyote vina haki ya kutangazwa habari zake ili Watanzania waweze kuzipata. Ni imani yetu kituo...
Jamani jamani katika mkutano Wa magufuli Na wanaccm Wa mkoa Wa Dar es salaam Leo, kiongozi mkuu Wa ccm akiwahutubia wana ccm wenzake amemtolea sifa lukuki bwana magufuli ikiwa in pamoja Na kuwa hali rushwa .akijibu hotuba hiyo magufuli amejitapa kuwa hajawahi kushindwa Kazi yoyote hapa...
Jamani hivi hiki chama cha mapinduzi CCM mbona kimetung'ang' ania watanzania?Tumechoka tunataka mabadiliko miaka 54 maisha ni Yale Yale ya shida Na dhiki? Viongozi Wa CCM Na Serikali maisha yenu in kama Peponi kwani mmekalia kuiba raslimali Na tunu za watanzania pia kuchota Hela za umma kama...
Ni dhahiri nchi yetu haina dini ili wananchi wake wana dini zao.Pia hakuna ubishi viongozi wa dini wana nafasi kubwa kulea roho za watanzania katika maadili yakumpendeza mungu.
Viongozi wa dini ni sehemu ya watanzania hivyo kila kinachoendelea hapa nchini nao wanakiona. Watanzania tumekuwa...
Hakika ni jambo la kushangaza sana kuona baadhi ya vijana Wa ccm kina Nape Nnauye Na Paulo Makonda wanawakosea heshima viongozi hao kwa kuwatukana Na kuwapiga makofi.Watanzania tuna paswa kuwakemea kwa nguvu moja ili vitendo vya aina hiyo visiendelee kutokea kwa vijana wengine.Hao bado wanapaswa...
Nilitegemea Mchambuzi au mwanaharakati Humphrey Polepole angeuambia umma juu ya utajiri Wa Magufuri.Magufuri ana Nyumba za kutosha hapa nchini Nyumba ambazo in kama amejipa kwani Wizara yake ndio imegawa Na zuri zaidi zimegawiwa hata kwa wasio watumishi Ndugu marafiki n.k.Magufuri amejengea watu...
CCM imeamua kuwadanganya wapiga kura kuwa Ilani yake ya 2005-2015 ya maisha bora kwa kila mtanzania imetekelezwa kwa asilimia 70 Na 2015-2020 ilani yake ni kuondoa umasikini Na jembe la mkono kwa wakulima Na kupewa matrekta. Maneno hayo ameyasema Waziri Stephen Wasira Leo mjini Musoma wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.