Mbona hilo ni tatizo dogo tu ? Kama kuna mwingine mwenye tatizo hilo Awe anakata kipande cha Tango anaweka mdomoni wakati wa kulala kinakaa hadi asubuhi baada ya siku 7 tatizo litaisha na ajitahidi kila akipiga mswaki asugue ulimi
Duh. Kuna nini ? Mkangara alisema Lowasa ni mgonjwa Akafa yeye,Mtikila alisema Lowasa ni mgonjwa Amekufa yeye, bado wengine kama 3 wanaomsakama lowasa kwa ugonjwa na ni bahati Mtikila aliondolewa kwenye kinyang,anyilo cha Urais muda huu uchaguzi ungehairishwa hadi January 2016
kuwa na watoto wachache au wengi ni tofauti na kuwa na watu wachache watazalisha kidogo na kulipa kodi kidogo kuliko ukiwa na watu wengi wanazalisha saana na serikali inakusanya kodi kwa wingi na maendeleo yanapatikana kwa mfano angalia China ni ya kwanza kuwa na watu wengi duniani lakini...
Fanyeni mazungumzo na Benki ya NBC nao wajiorodheshe kwenye mpango wa MOBILE BENKING ili mteja wa mpesa aweze kubenk au kutoa pesa kwa kutumia simu yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.