JF mimi nina mchumba ang tuliamua kuishi pamoja baada ya kumaliza chuo, kwani tuli bahatika kupata kazi mkoa moja. one i was seriously sick, tukaenda hospital nikagundulika nina malaria kali, so nikachomwa sindano kushusha ile hali, basi tukaanza kurudi home njiani akaanza kuniuliza maswali...
kwani tatizo liko wapi mbona 99% ya wanawake wana choose wenye pesa? mwanaume akipata mwenzako mwenye mshiko maneno kibao? ifike wakati tuangalie usawa maana si sote binadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.