Heeee!!!!Mchuma wako analiwa denda!!!!

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Fikiria unamkuta dem wako analiwa denda halafu jana uliwaambia marafiki zako unataka kumvisha pete ya uchumba,na wakati unamuona ndo umetoka kununua pete!!Utaimeza au utaitafuna????
 
Hiyo itakuwa na mkosi, Wala usimwambie mtu. Tupa tu kimya na huyo demu wako mtie kapuni wala usimsemeshe.
Ila akija tu Jitoe mhnaga hata ngumi mpige. Au sepa tu kiaina. Kimya kmya maana ni aibu sana wako aliwe denda na mtu mwingine.
Anakuwa malaya kabisa
 
Fikiria unamkuta dem wako analiwa denda halafu jana uliwaambia marafiki zako unataka kumvisha pete ya uchumba,na wakati unamuona ndo umetoka kununua pete!!Utaimeza au utaitafuna????

Heeee!!!!Mchuma wako analiwa denda!!!!

Mtwa hizo haraka za nini asubuhi hiii?
 
Fikiria unamkuta dem wako analiwa denda halafu jana uliwaambia marafiki zako unataka kumvisha pete ya uchumba,na wakati unamuona ndo umetoka kununua pete!!Utaimeza au utaitafuna????

shukuru mungu kuwa hilo denda umelishuhudia, je yale madenda mengine anayoliwa na hukubahatika kuyaona?????
 
rud kwa sonara na pete yako mwambie sonara aiyeyushe aitengeneze pete then iyo kichen kdg dg MPELEKEE MAMA YAKO MZAZ...au dada yako...yule last bon
uyo demu mkimbie na akija mkimbize
polen sana
ahh mbona izi mambo zipo iv jaman??????????????????????????????mi nachanganyikiwa jamaN...kamari iz everwhere
hesabu za probability haziish daily znatokea ....
 
Heeee!!!!Mchuma wako analiwa denda!!!!

Mtwa hizo haraka za nini asubuhi hiii?

Aka, huyu ni Mtama, wangu akifanya hivyo sijiulizi tena. Jibu ninalo, mengine bwana Dena ni fedheha kubwa bora Usepe kimyakimya
 
rud kwa sonara na pete yako mwambie sonara aiyeyushe aitengeneze pete then iyo kichen kdg dg MPELEKEE MAMA YAKO MZAZ...au dada yako...yule last bon
uyo demu mkimbie na akija mkimbize
polen sana
ahh mbona izi mambo zipo iv jaman??????????????????????????????mi nachanganyikiwa jamaN...kamari iz everwhere
hesabu za probability haziish daily znatokea ....
Hata mimi nashangaa. Kurudi kwa sonara haifai. Bora tu uhesabu kuwa hiyo ni hasara. na uitupe mbali watu wasiojulikana waokote.
Ni mkosi huo kama ulitaka kuoa kweli
 
Dah! ala tujaribu pia kuangalia mazingira.....siku hizi hata wezi kabla ya kum pora mdada ana kula denda kwanza au baada.......and mazingira yalikuwaje? Usikurupuke kumkimbia unless mazingira yanamtia hatiani
And kama ni Mkeo? Mumeo? and watoto wako home?
 
Dah! ala tujaribu pia kuangalia mazingira.....siku hizi hata wezi kabla ya kum pora mdada ana kula denda kwanza au baada.......and mazingira yalikuwaje? Usikurupuke kumkimbia unless mazingira yanamtia hatiani
And kama ni Mkeo? Mumeo? and watoto wako home?
Usirembe uzembe, Kalambwa denda basi tupa pete tambaa kimya kimya! Mazingira ya kulambwa denda Bi harusi mtarajiwa? Halina cha mazingira wala nini anatakiwa kuwa makini. Hiyo ni mbaya na DENDA halitoki hivihivi tu
 
Hata mimi nashangaa. Kurudi kwa sonara haifai. Bora tu uhesabu kuwa hiyo ni hasara. na uitupe mbali watu wasiojulikana waokote.
Ni mkosi huo kama ulitaka kuoa kweli
et ennh?
kwel lakin
 
Bora usioe kama yupo kwenye maandalizi tu analiwa denda, na unajua denda ndo mwanzo wa kuliwa vingine vya ndani zaidi Lo bora niwe peke yangu
Ujue hutakaa upate demu wa kuoa " a.k.a"MCHUMA"
 
Ni kweli hawa ndo baadaye wanakuzarau kwa kuwa kuna watu wenye mvuto zaidi yako katest weeee halafu wewe hufikii, Mtatushauri hadi lini Rose??
Mengine yanaepukika

apo chachaaaaaaaaa!!!
sjui tutashauriana mpk ln?
 
pete unaivaa mwenyewe.unaendelea nae unamtia mimba hlf unamwachia.prob solved
 
apo chachaaaaaaaaa!!!
sjui tutashauriana mpk ln?

eeeeheeeeh naona katika hili vijeba a.k.a wababe mnakuja juuu ile mbaya ila nyie kutoka nje ya ndo mnashabikia sana,
by da way acha wadada wafanye vituko.......maana kizazi cha kuoa kilisha kufa kikatoweka kabisa duniani.
 
JF mimi nina mchumba ang tuliamua kuishi pamoja baada ya kumaliza chuo, kwani tuli bahatika kupata kazi mkoa moja. one i was seriously sick, tukaenda hospital nikagundulika nina malaria kali, so nikachomwa sindano kushusha ile hali, basi tukaanza kurudi home njiani akaanza kuniuliza maswali kwamba siku za nyuma nilikuwa na girl friends so anataka nimwambie kama nina mpago naye while she know tuliachana na anajua story zote kabla hata ya new relation. tukaanza kulumbana at end akasema anaondoka nikwamwambia asiondoke kwanza asubiri kesho labda anaweza akawa na wazo tofauti; nikashidwa kumzuia akakusanya vitu vyake akaondoka usiku, kabla hajaondoka alitaka kusikia msimamo wangu kama nitamwoa; nikamweleza msimamo wangu kuwa akiondoka asinitegemee kumpenda tena. tuna wiki sasa anaomba msamaha nimebaki kwenye msimamo je nina kosea wadau
 
sasa kumpa mate umeona dilii!kama alikuwa anamuhibia tuu?ungemuhuliza kwanza y?yawezekana alikuwa anafanya kitu flani mbaya kama ungemkuta anampa game..thoo mimi kwangu sio ishu hata kama namkuta anamegewa kwani we umegi nje zaidi ya kwake?
 
mi nadhani mheshimiwa Mtama we msamehe halafu muombe tigo....akikubali mvalishe pete tu.....kwani demu wa nani humu ndani haliwi denda?....wala sio dili kiivyo!
 
Back
Top Bottom