Hili jukwaa miakq mitatu iliyopita lilikuwa la Moto Sana kupitia hawa watu
Nyegere
Wakusoma
Buddy
Koncho
Mr Wise
Root
Mzee wa makorokocho
Mtoto wa Inzi na wengineo daa lilikuwa Moto Sana sijui hawa jamaa kwa nini wamelitelekeza hili jukwaa aisee,popote pale mlipo Mungu awape maisha marefu sana...
Daaa yaani unapoweka stake kwenye mikeka kabla game hazijaanza kuchezwa unakuwa na uhakika wa kula 100%, game zikianza kucheza Sasa kale ka 100% kanaanza kushuka mpaka 1% daaa hatari sana
Safi sana nafurahi sana ninapoingia humu naona people's mnaendeleza ushirikiano,naona jukwaa linaanza kurudi enzi za akina Buddy,Wakusoma,Nyegere,Mtoto wa inzi,Koncho na wengineo wengi hakika lilikuwa moto Sana,tuendelee kushirikiana wazee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.