Hivi punde imethibitishwa kuwa Serikali ya JK itapokea mkopo wa kiasi cha USD 250Million kutoka kwa mabenki ya ndani na nnje ya nchi.
Stanbic ndiyo inaonekana kuwa "Lead Arranger" wa mkopo huu,ingawa mabenki mengine ya ndani hayajatajwa bado.
Maswali ambayo inabidi tujiulize ni kama yafuatayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.