Jamani kuna hili la uwanja mpya kuhangaikiwa kupewa jina kwa nini asipewe Brother Beni ambaye ndie tunaweza kusema alihakikisha unajengwa? na shangazwa na TFF kwa kutomualika hata katika mechi ya kwanza kuchezwa pale na hakuna kiomgozi yeyote anayestahili kubeba jina la uwanja ule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.