Kama ni kweli slaa ameonyesha udhaifu wa hali yajuu.nilikuwa namfagilia sana lakini kwa hili aende zake tu.padri gani hajui kusamehe,kama alikuwa na ushahidi wa lowasa kwa nn hakumpeleka mahakamani?Nenda zako msaliti wa pili toka zzk.TUKO KWENYE UKOMBOZI WA NCHI HATUTAKI MCHEZO NA MTU.
Jenerali wanakutia aibu.unaheshima yako kwenye taaluma ya habari.Ushauri wa bure liuze kwa global publishers wawe wanaandika habari za wale wa dada walioenda kugombea ubunge singida na tabora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.