Kuna jamaa mmoja naishi nae kitaa kila mkutano mkubwa wa CCM ukifanyika yeye anarudisha kadi ya CHADEMA tulipo mgundua akadao kwamba hiyo ndo life staili yake inayomuweka mjini
Mfn. Ata ungekuwa ww mwenyewe ndo kiongoz mkuu wa ccm UNGEJIBUJE? Jumba bovu wamemtupia Mapombe na kumbebesha gunia la Mavi ambalo limechanganywa na Misumali namuonea huruma ndo maana anaishia kuiba ALIMSELEMA ....
Ajiandae kusaulika kama Marlow .watu wanafikilia kila pesa ni halali yao nyngine ni pes fake ukichukua tuu jera inakuhusu bor ata angekuwa neutral ili kumaintain status yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.