Wachangiaji wote naungana nao...NEC ndo wakulaumiwa kwani hadi sasa wanaulizwa iweje wapiga kura halali waliojiandikisha ni 20millions lakini waliopiga kura ni 8millions tu......!hawana majibu....that means data zao ni inconsistence kabisa...kama hivyo ndivyo even matokeo walotoa sio ya kweli...
@MwanaCBE..hiyo kali na pole...nauli zote za DOM-DAR/DAR-DOM ni 11000-15000 Tsh..kama ulitoa hiyo,wamekuotea kaka.Next time pakia Shabib wapo poa sana.\
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.