Mkuu wa mkoa wa Simiyu ametoa agizo ambalo ni amrikwa kila shule kutumia chaki zinazozalishwa na "project" iliyoasisiwa na mheshimiwa huyo.Kijiografia mkoa wa Simiyu ni miongoni mwa mikoa yenye idadi kubwa ya shule kwa mikoa ya kanda ya ziwa.Agizo la mkuu wa mkoa linakuja kipindi ambacho...
Wakati bunge likihairishwa jana kati ya habari kuu ilikuwa ni suala la kuhamia Dodoma kama makao makuu ya nchi. Safari hii tuliyoingoja kwa miongo takribani miongo mi4 hatimaye sasa tushafanya booking tayari kuianza ila tutaenda kwa 'mafungu'. Nini hasa sababu ya uondokaji huu wa mafungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.