Search results

  1. rais wako

    Why Tanzania might be treading on dangerous waters

    unafkir serikali itaajiri watu wote?
  2. rais wako

    Uchaguzi 2020 Chama kinamkana mgombea?

    unafkir kuna mgombea binafsi? ili ugombee urais chama chako ndo kinatambulika na wala sio wewe!
  3. rais wako

    Uchaguzi 2020 Tunduma hatutaki maji yenu! Kura zetu ni CHADEMA!

    sasa unataka akuletee maji wewe ambae hukumchagua? ulie mchagua means manifesto yake umeikubali basi dai alivyokuahidi! unataka umchague mbunge wa chadema alaf unataka utimiziwe yaliyo ahidiwa na ccm unaakili au matope
  4. rais wako

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

    wewe utafanya nn wewe? acheni kupiga kelele kama kuku! akifutwa unafkir kuna kitu mnaweza fanya zaidi ya kuita press conference
  5. rais wako

    Kenya ndio taifa la kwanza Duniani kutajwa kama salama kwa watalii kipindi hiki cha Corona

    Tanzania endorsed for Safe Travels Stamps use - Castaway Weddings
  6. rais wako

    Kenya ndio taifa la kwanza Duniani kutajwa kama salama kwa watalii kipindi hiki cha Corona

    Ni kwa sababu tuu hauna exposure hiyo stamp Tanzania imepewa muda sana ila kwa kua hao wapuuz wa kenya wanapenda kujitoa ufahamu wanalishana ujinga.
  7. rais wako

    Tanzania should be kicked out of EAC

    Ebu fkiria wa marekani kumi wamekuja Tanzania kutalii au kibiashara (kwa sababu anga la TZ liko open kwa kila nchi), siku moja wapande KQ au ndege yoyote kutoka TZ kwenda Kenya wakiwa na watanzania kumi wakifika Airport wamarekani wanaruhusiw kuendelea na shughuri nchini kenya kwa sababu...
  8. rais wako

    Wajumbe wa viongozi Wakenya waliokwenda kuhudhuria msiba wa Mkapa, wageuza kutokana na hali ya hewa mbaya

    Tony254, Kwanini mnateseka mtataga sana hatutaki yoyote nyinyi komaeni na maisha yenu.
  9. rais wako

    Millionaires btn Kenya and Tanzania

    Kitu ambacho hujui millionea wote wanakua ranked kwa dollar millions sio pesa za madafu
  10. rais wako

    Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi ipi yenye wasichana warembo zaidi?

    Namba kubwa ipi hiyo Tanzania inawasanii zaidi ya 200 kwenye main stream hao wengi waliokuja kuoa Kenya wanafika wangapi? Wakizidi kumi mimi natembea kwa mguu mpaka kibera toka Dar es Salaam.
  11. rais wako

    Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakuwa ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie

    ufiche ili iweje lazima uuweke ukweli wazi ili wahusika wajitafakari Sent using Jamii Forums mobile app
  12. rais wako

    Vijana Wakenya tayari kutengeneza ventilators 50 kwa wiki, kwa ushirikiano wa chuo kikuu cha Kenyatta

    wakenya bwana akiskia kiswahili kinasifiwa unataskia sisi ndo huongea kiswahili kizuri na kiswahili imeanzia kenya ila kiswahili kikiwa na tatizo utaskia hii lugha bwana and blah blah kibao kitu kizuri chenu nyinyi kiliwa kibaya sio chenu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. rais wako

    Vijana Wakenya tayari kutengeneza ventilators 50 kwa wiki, kwa ushirikiano wa chuo kikuu cha Kenyatta

    wakenya bwana akiskia kiswahili kinasifiwa unataskia sisi ndo huongea kiswahili kizuri na kiswahili imeanzia kenya ila kiswahili kikiwa na tatizo utaskia hii lugha bwana and blah blah kibao kitu kizuri chenu nyinyi kiliwa kibaya sio chenu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. rais wako

    Kenya Coronavirus Update

    hakuna unachojua kwenye sekta ya afya wewe ongelea mambo ya IT ata kama machine yako ingekua na uwezo wa kupima sample 100000 kwa mashine maja kiuhalisia ukiangalia factors za kufikia lengo hilo ni ngumu kuachieve hiyo kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  15. rais wako

    Kenya Coronavirus Update

    uwezo wa machine na human resource inayohitajika kufikia capacity ya machine ni hadithi nyingine sasa south afrika kama wanauwezo wa kufanya vipimo 35k kwa siku mbona mpaka sasa wamepima vipimo 70k huwez kujitamba tuuu vipimo 35k per day lazima upime possibility ya human kufika requirements za...
  16. rais wako

    Kenya Coronavirus Update

    kuwa na machine inayoweza kupima ata sample laki moja kwa siku na uhalisia ni vitu viwili tofauti kabisa, unafkir ata kama unauwezo wa kupima kwa kutumia rapid test, kuna reality huwez pima hizo test wewe kwa akili zako, kwamba hiyo teknolojia afrika nzima mnayo nyinyi tuu? hakuna nchi ya afrika...
Back
Top Bottom