Search results

  1. M

    Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

    Yeye mwenyewe ni jipu
  2. M

    Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

    Sasa Shida nn endelea kula mzigo hiyo ni kesi ndogo sana piga pumbu mpaka mwisho wa maisha yako
  3. M

    Rais Kikwete akabidhi Polisi Magari 399 mapya kati ya 777 leo Kurasini jijini Dar es Salaam

    Safi sana rais kikwete wapi vijana vifaa vya kufanyia kazi ili iwe mfano kwa wanao jidai wanywa viroba wanataka kituharibia Amani yetu
  4. M

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Mm na ukweli kiongozi ww umechambua kisomi sasa subili waje hawa bulula usikie matusi
  5. M

    Magufuli ni kama Mwalimu Nyerere

    Pamoja na itikadi za kisiasa lakini magufuli anatufaa kuwa rais wa tanzania
  6. M

    Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

    Kweli jf kuna mabandidu wa uongo nikuwa c amini,hili la misungwi kuwa magufuli kashindwa kuongea ni uongo na maana mkapa anawaita malofa,mm nimeangalia mwamzo mwisho na akamuombea charles kitwanga kura kwa wanamisungwi,kweli ukawa mtakuwa ukiwa
  7. M

    Barua ya wazi kwa mheshimiwa Freeman Aikael mbowe

    Mbowe alipiga dili kwa lowasa bilion 12 acheni Na mawakala nao wakapige dili kwa lugha nzuri ni kwamba (dawa ya fitina ni fitina)maneno mengi Ya nn
  8. M

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Kama una miamba subilia muda wa kujifungua
  9. M

    Cheki mchakamchaka wa Abdulrahman Kinana alivyofunika Tunduma Mjini

    Hapa kazi tu acha wabwate na Mzee wao wa kukipika na kupest
  10. M

    Lowassa na UKAWA wamesahau kuwa SIASA NI SAYANSI

    Huo ni ukweli tupu nakupongeza kwa tathimini nzuri na ya kisomi
  11. M

    CHADEMA thibitisheni mgombea URAIS kushiriki MDAHALO

    Maana nilisikia king msukuma anawauliza watu c mliona mzee kajinyea na watu wanaitikia tuliona sasa mm nilizani ni siasa kumbe ni kweli
  12. M

    CHADEMA thibitisheni mgombea URAIS kushiriki MDAHALO

    Jamani hv kweli huyo mzee alijinyea kule chato??
  13. M

    Elections 2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

    Magufuli ni kazi tu c huyo mzee aliyeanza kuitisha bakuli la mchango
  14. M

    Kwa habari zilizonifikia, nyeti na zilizotoka jikoni kwao muda si mrefu ni kwamba.....

    Mm naanza kuamini hilo bakuli la kuchangisha wananchi la nn?
  15. M

    Pigo la kwanza: Arusha mjini na Hai kurudi CCM!!

    Wewe unafikiri kura yako moja ndo itambeba rema arusha,huyo mtu hatumtaki tena arusha tumeshapata mbunge wa kutuvusha arusha
  16. M

    Lembeli aanika yaliyofichwa Operesheni Tokomeza

    Lembeli nimekuzalau sana nilifkilia ww ni bonge la mtu makini kumbe upo sawa na mbunge wa arusha mjini (lema),mbona safari hii mnachemsha hivi nilikuwa naangalia mkutano wa kafulila kigoma naye kazomewa shida nini ndugu zangu au ndo kifo cha chadema kimefika?
  17. M

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Chadema kilikuwa ni chama cha wanyonge na leo ndo chama kinabeba majizi mapapa wa nchi hii,
Back
Top Bottom