Mk
Mkuu kwenye passport kunasehem imeandikwa pahali ulipozaliwa ukipeleka cheti cha kuzaliwa kama umezaliwa Zanzibar pataandikwa Zanzibar ukipeleka cheti kimeandikwa tabora utajuilikana wewe no mtanganyika ndio tofauti
Hahahaha wakivaa magunia kweli kabisa nchi ilikuwa mbaya hatari kwa mwananchi wa kawaida mlala hoi hatowasahau mwinyi na kikwete Mji Leo umependeza ni kikwete ila kunawapumbavu watapinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.