Uzuri wote hao wapiganaji wa kupita maelezo.Ukepteni itabidi auchukue kwanza kwa muda Shibuda akiwa na tundu lissu,assistant Mbowe,mjema,mpendazoe.kocha awe ni zito. Mrema haaminiki kabisa,na inaonekana atakua kama John Cheyo.
Asante mpayukaji kwa kujali kwako. Hoja yangu kubwa ipo katika kurekebisha tume ya uchaguzi ya tanzania. Kama umefutailia vizuri, ni zaidi au karibu nusu ya wapiga kura walioandikishwa hawakuweza kutimiza haki yao ya msingi kwa sababu za kisiasa zaidi. Ukiangalia kwa mfano jimbo la kyela, 90% ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.