Kama zito ni generous kwann sshv kafulia tumieni akili nsitumie makalio!ww ulichanga shilingi ngapi na ulichangia wapi?kama unashida ya pesa njoo tukupe acha kujiuza kwa mafumbo tunakujua ww siliziki hutusumbui
Mm huyu Mzee nimemuona mzushi sana anadai hawa watoto wake wana miaka 25 atakiwi kuwalisha lakini aliwasaliti miaka 10 iliopita alipopata tu ubunge kipindi wana miaka 15.yani yakwake anayaongelea ya sasa hivi ila yawenzie anaongelea tangu miaka 15 iliyopita!kwahilo tambueni huyu Mzee hafai na...
Haiwezikani wapo mnyika,salum mwalim na wengine kibao wanaijua cdm
Namtalia sana Mwaka huu akuna wa kuwaonea huruma! Wa Tz wana revange mateso walio yapata kwa zaidi ya miaka 50 tunawatesa kwa miezi mitatu tu na adabu mtaipatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.