Umeshaambiwa ujumbe huu ni ule wa Positive tu... Mbona unataka kuharibu uzi huu. Anzisha wako wa negative...
Ndugu Chengu Manure ameweka yale aliyoona kwake ni positive na kujifunza kutoka kwa Mgombea huyu. Nasi tunatakiwa tuorodheshe yetu yaliyo positive.
kaka. Nilikuwa Goba nilisikitishwa sana na maneno yaliyotoka kwa mtu anayejiita kijana na ni msomi kuzungumza matusi na personal attacks badala ya kuzungumza ni vipi atajenga chama chake kipya na namna gani serikali inayoongozwa na chama chake kitatatua matatizo ya Goba kama Kituo cha Polisi...
Wazee wangu wa Goba wamekasirishwa sana na vijana waliosemeshwa na wazazi wao badala ya kumwaga sera na mipango ya kutatua matatizo ya Goba wao ni kuzungumza tu mambo ya Karatu tu tuuuuu.
Niko kwenye mkutano wa CCM kata ya Goba Muda huu Nape yuko anahutubia.japo nimechelewa lakini nakusudia kuwapasha.
Nape kawatambulisha wale vijana waliofukuzwa chadema. Hiace na malori nayo yanaleta watu kama kawa.
Maudhui makubwa naona wanajadili Chadema hususan Dr. Slaa, Mnyika na Mbowe...
Ndugu Nicholas. Huku nikigonga safari ya sita kusheherekea mbunge wangu kurudishwa kundini umeniacha hoi sana kwa comments zako. Well analysed and concrete samples.
Safi sana na nitaendelea kuifuatilia.
SIR R ULIKUWA SAHIHI KABISA. Ona JK mwenye dhamana ya kudnhibiti rushwa huku akiwa na all resources analia lia badala ya kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria tulizojiwekea.
This is shame......
Naamini mwandishi kakosea. Serikali makini haiwezi kufanya hivyo. Kwani hakuna asiyejua kuwa mataifa ya nje haswa ya magharibi na Asia yananyemelea utajiri mkubwa tuliokuwa nao ikiwemo mafuta, madini, n.k.
Hivyo tutakuwa tumewapa fursa ya kuleta mashushu wao kwa GHARAMA ZA KODI NA MADENI KWA...
Haya ndio matunda ya kuwa Omba Omba.... Lazima tuwe na mtazamo tofauti na taifa letu. Check tunavyodharauliwa, Ranking officer writing to the President of United Republic of Tanzania? I was expecting President Barack Obama and not otherwise... :shetani:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.