Leonard Akaro
Member
- Nov 1, 2010
- 56
- 13
Niko kwenye mkutano wa CCM kata ya Goba Muda huu Nape yuko anahutubia.japo nimechelewa lakini nakusudia kuwapasha.
Nape kawatambulisha wale vijana waliofukuzwa chadema. Hiace na malori nayo yanaleta watu kama kawa.
Maudhui makubwa naona wanajadili Chadema hususan Dr. Slaa, Mnyika na Mbowe haswa maisha yao binafsi. Wazee walioko jirani wanalalama. Wanahitaji yazungumzwe mambo yanayowahusu wao.
Mwampamba anadai watanzania tulikosea kumchagua Mnyika eti hada digrii. Hivi ni kweli?
Wazee walioko jirani wanakubaliana na Chadema kuwa walikuwa sahihi kuwafukuza. Hawana adabu.
Wana Goba wako na furaha, bia zinanyweka, T-Shirts, kofia na mashati zimegawanywa vya kutosha.
Waziri wa Maji ameahidi kufungua maji yaliyofungwa baada ya uchaguzi mkuu uliopita. Kwa hili limeniuma sana na hapa nilipo natamani kulia. Kumbe Goba tulipewa adhabu ya kukatiwa maji kisa jimbo la ubungo kwenda upinzani.
Niko na picha ila hapa inabidi nitafute usaidizi. Simu yenyewe ni kama ya arobaini na saba.
Barabara nazo zimezungumziwa kama kawa kuwa ziko kwenye mpango yakinifu wa kuziwezesha kuwa za lami.
Kwa mujibu wa Nnauye ni kuwa amevuna wanachama wapya wa CCM 165 wakiwamo wanachama wa Chadema.
Kwa ufupi kuna mabasi zaidi ya saba zilileta wanachama wa CCM kutoka maeneo mengine na kuletwa hapa Goba mjini. Mungu ni mkubwa angalau nimeuza crate zaidi ya arobaini za bia. CCM naomna mje tena Goba stand.
Nape kawatambulisha wale vijana waliofukuzwa chadema. Hiace na malori nayo yanaleta watu kama kawa.
Maudhui makubwa naona wanajadili Chadema hususan Dr. Slaa, Mnyika na Mbowe haswa maisha yao binafsi. Wazee walioko jirani wanalalama. Wanahitaji yazungumzwe mambo yanayowahusu wao.
Mwampamba anadai watanzania tulikosea kumchagua Mnyika eti hada digrii. Hivi ni kweli?
Wazee walioko jirani wanakubaliana na Chadema kuwa walikuwa sahihi kuwafukuza. Hawana adabu.
Wana Goba wako na furaha, bia zinanyweka, T-Shirts, kofia na mashati zimegawanywa vya kutosha.
Waziri wa Maji ameahidi kufungua maji yaliyofungwa baada ya uchaguzi mkuu uliopita. Kwa hili limeniuma sana na hapa nilipo natamani kulia. Kumbe Goba tulipewa adhabu ya kukatiwa maji kisa jimbo la ubungo kwenda upinzani.
Niko na picha ila hapa inabidi nitafute usaidizi. Simu yenyewe ni kama ya arobaini na saba.
Barabara nazo zimezungumziwa kama kawa kuwa ziko kwenye mpango yakinifu wa kuziwezesha kuwa za lami.
Kwa mujibu wa Nnauye ni kuwa amevuna wanachama wapya wa CCM 165 wakiwamo wanachama wa Chadema.
Kwa ufupi kuna mabasi zaidi ya saba zilileta wanachama wa CCM kutoka maeneo mengine na kuletwa hapa Goba mjini. Mungu ni mkubwa angalau nimeuza crate zaidi ya arobaini za bia. CCM naomna mje tena Goba stand.