hawezi kwenda anaogopa kukutana na Usalama wa taifa LIVE kwa uzushi wake, akitia mguu wanakufa nae. SLAA mzushi na mpenda ukubwa Catholic church lilimuandaa tangu mapema juzi pengo kamtosa anamwambia akubali matokeo. nchi ina wenyewe SLAA kitu gani labda akawe rais wa karatu
iyagilo huna mpango, acha UDINI huo ni ujinga!!!!!!! sisi ni wapenzi wa SLAA lakini hatuweki dini mbele kama unavyofanya kwa ujinga wako na waislam wakiuliza majimbo yote wanayoongoza CHADEMA ni yenye wakristo wengi tena WAKATOLIKI acha uzembe
MAKOYE upeo wako ni mdogo saaaana na kama ulitegemea kila anaeingia ktk JF lazima ampigie SLAA umepitwa na wakati, mwache huyo TECHNOLOGY atoe mawazo yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.